Tuesday, March 31, 2009

UCHAGUZI UDOM WAPAMBA MOTO!!

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi wa Seriklai ya Chuo kIkuu cha Dodoma (UDOSO) Mh.Dennis Mungai ametangaza kuanza rasmi kwa zoezi la kampeni za Uchaguzi.Kampeni hizo zimezinduliwa leo,alhamisi Machi 19,2009 wakati wa semina elekezi kwa wagombea waliopitishwa kugombea nafasi mbalimbali.Katika semina hiyo,Mh.Mungai aliainisha umuhimu wa taratibu nzuri za kampeni na kutaka zoezi zima la kampeni kuwa huru na haki.

Vitu vya msingi alivyoelezea Mh.Mungai kama angalizo kwa wagombea hao ni pamoja na kuepuka kampeni za matusi,kuepusha rushwa katika kampeni,rushwa na kampeni za amani.vitu vingine ni kutoingiliana katika kampeni,kuzingatia maadili pamoja na namna ya kupeleka malalamiko kwa tume,ambapo alisisitiza kupelekwa kwa tume ya uchaguzi zikiwa katika maandishi tena ikiwa imesainiwa.

Katika semina hiyo kwa wagombea Mh.Mungai alitangaza kuanza rasmi kwa kampeni ambapo uchaguzi wa kwanza utafanyika Machi 25,2009 kwa wawakilishi wa skuli (School Representatives) na viongozi wa Makazi (Block leaders).Kwa wagombea wa Uraisi au Mwenyekiti katika ngazi ya Chuo pamoja na Skuli,kura zitapigwa Machi 27,2009 siku ya ijumaa.Akisisitizia kwa wagombea,Mh.Mungai amewaasa kutofanya kampeni chafu,hasa za matusi na kashfa.Alisema, “Tunaomba kampeni ziwe za amani na kunadi sera…………ukingundulika,tunaku-nulfy(tunakuondoa) katika kinyang’anyiro”.

Aidha Mh.Mungai aliwakumbusha kuwa kampeni zote zitakoma saa 4:00 usiku kwa kampeni za vyumbani.Siku ya jumamosi na jumapili Umoja wa wanafunzi wanahabari wa Udom (UDOJA) uliandaa mdahalo kwa wagombea wa nafasi za juuu mbele ya wanafunzi ambapo wagombea wote wa nafasi za juu walionesha umahiri na uwezo wao wa kujibu maswali.Mchakato unaandelea .


Selemani Tambwe(UDOM)

Saturday, March 21, 2009

NISAMEHENI SANA,SITAMANI IWE HIVYO.....!!

Salamu wadau,
Ninaamini munaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa taifa letu Stagnant....!!Linalojengwa lakini halikui kwani naamini tunawajengea taifa watu wachache kwa kujenga familia zao kwa nguvu zetu zilizokuwa dedicated kwa taifa...yaani unafanya kazi au biashara unakatwa kodi ili ujenge taifa,kumbe wachache wanakula portion kubwa ya kodi na kuacha portion ndogo kwa ajili ya taifa...anyway poleni and stand for your rights and for the betterment of our nation.

Nisameheni kwani nimekuwa kimya,sikutaka iwe hivyo bali ni shule ya UDSM ilivyokaa vibaya,kiasi cha kunifanya mdau nipitie cafe kuweka updates,Jumatatu tunaanza University Examinations na last two weeks ilikuwa matest na maassignment ya kufa mtu,m sorry for that.....!!
Wadau na wanafunzi wote wa vyuo vikuu Tanzaia tuendelee ku act intellectually and refraining from any conduct that will bring discredit to ourselves and higher education at all.......Poleni kwa mliopoteza nafasi zenu vyuoni,everything has a reason brothers...so dont give up and keep your head up!!

Kwa wale mnataka kusoma masters..pliz i urge you to apply for masters scholarship because most of them are almost at closure stages...sababu nyingi deadline ni 31st March.....!1
Asanteni sana
Wenu Mdau Mkuu.

MASTERS SCHOLARSHIP FOR YOU!!

Masters Scholarships in Tanzania from Embassy of Belgium & Belgian Technical Cooperation (BTC)
Embassy of Belgium & Belgian Technical Cooperation (BTC)Opportunity for scholarships for Masters studies in TANZANIA Starting in the academic year 2009-2010 The Embassy of Belgium in Dar es Salaam and BTC in collaboration with President’s Office, Public Service Management, announce the availability of a limited number ofscholarships for Master studies in Tanzania for the new academic year 2009-2010.
Applicants must have the Tanzanian nationality and be no more than 40 years of ageon 1st May 2009, have a relevant Bachelor degree.

The requested course must be related to the professional activity of the applicant and he/she must have at least two years of relevant working experience.The requested course must be in line with the priority sectors (Basic Health Care,Education, HIV/AIDS Care and Prevention, Agriculture and Food Security, PublicAdministration, Justice, Environment and Water Management)
which foster therealisation of the Tanzania Vision and MKUKUTA.All applicants must be in the possession of an official admission letter prior tosubmission of the scholarship request.Both applications are open to people from public and private sector as well as civilsociety. Female candidates are strongly encouraged to apply. Applicants need tohave the written approval of their employer.
Standard application forms can be obtained from the President’s Office, PublicService Management,
Division of Human Resource Development
PO Box 2483,
Dares Salaam,
Tel. 2118531-4/2122908,
Fax. 2125299 or on www.estabs.go.tz or
fromthe Embassy of Belgium,
5,
Ocean Road, Dar Es Salaam
(email:daressalaam@diplobel..be) or
from the BTC office,
1271, Haile Selassie Road,
Oysterbay,
Dar Es Salaam
(email: daressalaam@diplobel.be).
Completed andsigned application forms have to be submitted with certified true copies of alleducational certificates.
All applications (Original application file + 1 copy) have to be submitted to thePresident’s Office,
Public Service Management,
Division of Human ResourceDevelopment
P.O. Box 2483, Dar es Salaam.
The deadline for submission is 30thMay 2009.
It is recommended to send a copy of the application file to the Embassy of Belgium,
Ocean Road 5,
P.O. Box 9210 Dar es Salaam.
APPLICATION FORMS: CLICK HERE
SOURCE: CLICK HERE
MAKULILO Jr,
www.makulilo.blogspot.com

Thursday, March 5, 2009

Master`s Scholarship in Climate Change 2009-Dernmark

Denmark offers a number of full scholarships within studies of climate change.Study climate change in Denmark - apply for a COP15 Climate ScholarshipClimate change is one of the major challenges that our world faces today. In December 2009, Denmark will host the United Nations Climate Change Summit. To emphasise the importance of sustainable climate solutions, the Danish government is now launching the ‘COP15 Climate Scholarship’ for highly qualified students.

The scholarships, which cover both tuition fees and living expenses, are made available for a range of excellent two-years Master’s programmes, including MSc programmes in wind energy, environmental engineering or sustainable energy planning.BackgroundIn line with the overall aim of securing a climate friendly Climate Conference, the Danish Government has decided not to give any gifts or conference-kits for COP15 participants. The resources saved is instead used to create the ‘COP15 Climate Scholarship’, which gives a number of international students the opportunity to pursue a masters degree within climate change studies at a university in Denmark.How to applyApplications are made directly to the university.
When you apply for a masters programme, you should indicate your interest in applying for the COP15 Climate Scholarship.
The following master programmes are available under the scholarship programme.

Please note the deadline at the beginning of March 2009.
Further Scholarship Information and Application

SOURCE: CLICK HERE


MAKULILO Jr,
www.makulilo.blogspot.com

WAANDISHI WA HABARI!!

The Dag Hammarskjöld Scholarship Fund for Journalists is now accepting applications from professional journalists from developing countries for its 2009 Fellowship Program. The application deadline is Friday, March 20, 2009.

The Fellowships are available to radio, television, print and web journalists, age 25 to 35, from developing countries who are interested in coming to New York to report on international affairs during the 64th session of the United Nations General Assembly. The Fellowships will begin in mid-September and extend to late November and will include the cost of travel and accommodations in New York, as well as a per diem allowance.
The Fellowship Program is open to journalists who are native to one of the developing countries in Africa, Asia, South America and the Caribbean, and are currently working full-time for a bona fide media organization in a developing nation. Applicants must demonstrate an interest in and commitment to international affairs and to conveying a better understanding of the United Nations to their readers and audiences. They must also have approval from their media organizations to spend up to two months in New York to report from the United Nations. Click
here for full eligibility and documentation requirements and Fellowship application form.

The journalists who are awarded Fellowships are given the incomparable opportunity to observe international diplomatic deliberations at the United Nations, to make professional contacts that will serve them for many years to come, to interact with seasoned journalists from around the world, and to gain a broader perspective and understanding of matters of global concern. Many past Fellows have risen to prominence in their professional and countries.


This is the 48th year the Dag Hammarskjöld Scholarship Fund has sponsored the Fellowship Program for Journalists. The program is administered on a volunteer basis by journalists at the United Nations, who raise money from foundations, corporations and diplomatic missions.

Questions about the program, eligibility and application process can be directed to
info@unjournalismfellowship.org

SOURCE
http://unjournalismfellowship.org/node/468