Monday, August 25, 2008

UNAMFAHAMU ALIYEGUNDUA BENZENE??


Wadau leo tunakuja kisayansi kidoogo!!


Huyu ni Friendrich august kekule ni mgunduzi wa benzene.aligundua mwaka1865.Benzene ni muhimu sana kwenye maisha ya kila siku.hutumika zaidi marekani.Benzene hutumika viwandani kwa shuhuli mbalimbali kama vile kutengeneza Plastics,Nylon ,Rubber,Lubricants na hata dawa za kuulia wadudu ziitwazo pestcides.mtu anaweza kuathirika na Benzene hasa sehemu za viwanda na,sehemu za kupigia rangi,na hata kwenye gundi za kugandishia furniture na pia kula vyakula vyenye Benzene kwa wingi..madhara yatokanayo na Benzene.
1.husababisha kansa ya damu yaani Leukemia.
2.husababisha kupungua kwa red blood cells mwilini ivyo kupelekea kumwa kwa ugonjwa uitwao ANAEMIA.
3.huaribu mfumo mzima wa kinga mwili yan immune system ivyo mtu kuwa rahisi kushambuliwa na bacteria na kupata maradh kwa urahis.
5.kwa upande wa wanawake huaribu mfumo mzima na mpangilio wa menstrual periods mwilini na kufanya mwanamke kushindwa kutambua siku zake kwa mpangilio. na pia hupunguza saiz ya ovaries hivyo kushindwa kuzalisha mbegu za kike hatimaye kukosa mimba.lakini mpaka leo haijajulikana kama kuna madhara kwa mfumo wa uzazi wa mwanaume.wanasayansi bado wapo uchunguzini.. na mwisho kabisa kwa wale wanaofanya kazi viwandani na mahospitali inabidi wavae protective ili wajilinde na hayo matatizo.
BY NANGU _ALGERIA.

4 comments:

Anonymous said...

sio kelule ni kekule

nangu said...

yah sure ni typing error.jina halisi la uho mwanasayansi ni friendrich august kekule

Anonymous said...

Good fill someone in on and this fill someone in on helped me alot in my college assignement. Thanks you as your information.

Anonymous said...

Hello,

When ever I surf on web I come to this website[url=http://www.weightrapidloss.com/lose-10-pounds-in-2-weeks-quick-weight-loss-tips].[/url]vyuotz.blogspot.com is filled with quality info. Do you pay attention towards your health?. Are you really serious about your weight?. Recent Scientific Research indicates that about 50% of all United States grownups are either chubby or overweight[url=http://www.weightrapidloss.com/lose-10-pounds-in-2-weeks-quick-weight-loss-tips].[/url] Hence if you're one of these citizens, you're not alone. Its true that we all can't be like Brad Pitt, Angelina Jolie, Megan Fox, and have sexy and perfect six pack abs. Now next question is how you can achive quick weight loss? [url=http://www.weightrapidloss.com/lose-10-pounds-in-2-weeks-quick-weight-loss-tips]Quick weight loss[/url] is really not as tough as you think. You need to improve some of you daily habbits to achive weight loss in short span of time.

About me: I am webmaster of [url=http://www.weightrapidloss.com/lose-10-pounds-in-2-weeks-quick-weight-loss-tips]Quick weight loss tips[/url]. I am also health trainer who can help you lose weight quickly. If you do not want to go under painful training program than you may also try [url=http://www.weightrapidloss.com/acai-berry-for-quick-weight-loss]Acai Berry[/url] or [url=http://www.weightrapidloss.com/colon-cleanse-for-weight-loss]Colon Cleansing[/url] for effective weight loss.