Wednesday, September 10, 2008

HUYU NDIYE NAPE NNAUYE!!


Naamini mmeisikia skendo yake ya kufukuzwa kwenye chama tawala......
Okay nawatakia mafanikio kwenye michakato yao ya siasa.....

6 comments:

Anonymous said...

Jax, utaona topic unazopost sio relevant saana kwa wanafunzi ndo maana hawana comments.

Anonymous said...

Wewe anonymous wa juu what do you mean my relevant topics? What do TZ students want to discuss...these are contemporary issues and they worth to discuss be a student or not a student. Come on now...

Anonymous said...

HUYO KIJANA WA JUU,SIZANI KAMA AMEPITIA SHULE,MBONA VYUONI WATU WANASOMA SIASA? KAMA UNA COMMENTS IS BETTER TO BE QUITY,
ni hayo,mm sina chakuchangia hapo! ila kijana amenikera sana!

Anonymous said...

Unaona Jax, watu hawachangii husu heading wamekuwa attracted na critique ya Anon wa kwanza.

Anonymous said...

Main reason of comment 1st is to comment for the particular subject rather than fighting among ourselfs.
Mimi namshauri tu ndugu yangu Nnauye
kwamba politics is like a game and b4 going into it u hv to know hw to play it.
So usikate tamaa keep it up, try ur chance next time with different approach.

Anonymous said...

tatizo uyo jamaa ni nani na alikua anafanya nini na kafukuzwa kwa ajili gani wengine hatujui na si wafatiliaji wa news koz hatupo ndani ya tz.so tunashindwa kukommet,ni bora ungeeleza machache kuhusu him maybe we could get a clue